Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Sõnaliik: proper noun
  • Sünonüüm(id):
  • Blossary:
  • Valdkond/domeen: Culture
  • Category: People
  • Company:
  • Toode:
  • Akronüüm-lühend:
Lisa minu sõnastikku

Mida öelda tahate?

Arutelude loomiseks tuleb sisse logida.

Terms in the News

Featured Terms

Ann Njagi
  • 0

    Terms

  • 0

    Sõnastikud

  • 12

    Followers

Valdkond/domeen: Internet Category: Social media

Mjomba Cat

cat cuddly kwa jina la Hatch-chan kwamba akawa kimataifa maarufu na blog yake mwenyewe na smiles kipekee. kupotea akageuka Mashuhuri paka alikuwa na ...

Kaastöötaja

Featured blossaries

Quality Management

Kategooria: Education   1 4 Terms

Coffee beans

Kategooria: Food   1 6 Terms