Home > Terms > Swahili (SW) > Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Eneo la urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utanaduni la Umoja Wa Taifa.

Ni eneo linalotambuliwa na Shirika la Elimu,Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Taifa kama sehemu yenye thamani maalum ya kitamaduni. Linaweza kuwa msitu, mlima, ziwa, jangwa, mjengo, au mji mkubwa Orodha linatengenezwa na programu ya urithi wa dunia inayoendeshwa na kikundi cha Urithi wa dunia la Shirika la Elimu,Sayansi, na Utamaduni la Umoja wa Mataifa. Mwaka wa 1872, Kuna maeneo mia tisa sitini na mawili ambayo ni maeneo ya urithi wa dunia ambayo yako katika nchi mia moja hamsini na saba Kwa hayo, mia saba arobaini na tano ni ya kitanmaduni, mia moja themanini na nane ni ya kiasili na ishirini na tisa ni mchanganyiko.

0
  • Sõnaliik: proper noun
  • Sünonüüm(id):
  • Blossary:
  • Valdkond/domeen: Culture
  • Category: People
  • Company:
  • Toode:
  • Akronüüm-lühend:
Lisa minu sõnastikku

Mida öelda tahate?

Arutelude loomiseks tuleb sisse logida.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Sõnastikud

  • 1

    Followers

Valdkond/domeen: Festivals Category: Christmas

vipuzi

Aina ya vijitia inayometameta na mapambo,iliyotengenezwa siku za jadi kwa kutumia kioo, iliotumika katika mapambo ya Krismasi.

Kaastöötaja

Featured blossaries

The Asian Banker Awards Program

Kategooria: Business   1 5 Terms

Classroom teaching

Kategooria: Education   3 24 Terms