Home > Terms > Swahili (SW) > Ijumaa kuu

Ijumaa kuu

jina iliyopewa Ijumaa kabla ya Jumapili ya Pasaka, ambayo huadhimisha kusulubiwa kwa Yesu Kristo na kifo chake katika Golgotha. Inaelezwa kama 'Kuu' na Wakristo, kwani bila kusulubiwa hakungekuwa na ufufuo ya kuonyesha jinsi Mungu alishinda dhambi na mauti yenyewe.

Nyeusi (rangi ya huzuni na kilio) ni agizo kwa Ijumaa. Huduma makini inafanyika katika makanisa kama kumbukumbu ya matukio ya kusikitisha ya Ijumaa Kuu ya kwanza.

0
  • Sõnaliik: noun
  • Sünonüüm(id):
  • Blossary:
  • Valdkond/domeen: Festivals
  • Category: Easter
  • Company:
  • Toode:
  • Akronüüm-lühend:
Lisa minu sõnastikku

Mida öelda tahate?

Arutelude loomiseks tuleb sisse logida.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Sõnastikud

  • 1

    Followers

Valdkond/domeen: Kitchen & dining Category: Drinkware

kikombe cha chai

kikombe cha chai ni kikombe kidogo, na au bila kono, kwa ujumla moja ndogo ambacho kinaweza kushikwa na kidole gumba na kidole kimoja au vidole ...

Featured blossaries

10 términos

Kategooria: Languages   1 5 Terms

Deaf Community and Sign Language Interpreting

Kategooria: Culture   1 1 Terms

Browers Terms By Category